Ijumaa, 18 Novemba 2016

Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wavamia dukani mwanza na kumuua mama WA kihindi kwa Risasi.

Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto wamevamia duka moja lililopo mtaa WA nkurumah katikati la Jiji la mwanza na kumuua mama mmoja mwenye hasili ya kihindi kisha kupora kiasi cha pesa ambacho hakijajulikana bado duka Hilo ni bidhaa mchanganyiko yani mini super market pia hutoa huduma kwa njia ya mtandao ya simu za mkonon

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni