Hii ni kati ya filamu kubwa ya zile ambazo zipo sokon, filamu inaonyesha changa moto za kimaisha ya kila siku ukosefu WA ajira, manyanyaso, kutoka kwawaajiri, udanganyifu, Tamaa.hii filamu iko tofaut na nyinginezo ambazo tumewai kuziona kutokana na Jacob stephano (JB) na Diana kimaro ambao wameicheza kwa ustadi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni