Raisi Magufuli atia saini Sheria ya huma za Habari ya Mwaka 2016
Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi WA mawasiliano ya Raisi, ikulu, Gerson msigwa imeeleza kuwa raisi Magufuli amesaini Sheria hiyo jana tarehe 16.11.2016 na kuwapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwake
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni