Alhamisi, 17 Novemba 2016

Raisi Magufuli atia saini Sheria ya huma za Habari ya Mwaka 2016

Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi WA mawasiliano ya Raisi, ikulu, Gerson msigwa imeeleza kuwa raisi Magufuli amesaini Sheria hiyo jana tarehe 16.11.2016 na kuwapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwake

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni