Mwenyekiti WA jukwaa LA katiba tanzania bw Deus kibamba akitoa elimu kuhusu mchakato wa mabadiliko ya katiba November 18. 2016 pamoja na historia ya mchakato huo kwa vijana na WA wilaya ya chamwino mkoani dodoma. Afisa wa IRI Tony Alfred akizungumza jambo wakati wa mafunzo ya mchakato WA mabadiliko ya katiba kwa vijana vijana na wilaya ya chawino mkoani dodoma.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni