Alhamisi, 17 Novemba 2016

Kijana aliye kosa matibabu moi kutokana na urefu wake afunguka

Kijana Baraka eliasi (35) mwenye urefu wafuti 7.4 ambaye ameshindwa kufanyiwa matibabu yakubadilishwa nyonga katika taasisi ya tiba ya mifupa na mishipa ya fahamu (moi) amevunja ukimya na kueleza changa moto zilizosababisha ashindwe kupata matibabu hayo ni kutokana na urefu wake   usiokuwa WA kawaida

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni